Kala Jeremiah akipokea tuzo zake.

Gardner G Habash akipokea tuzo ya Msanii Bora wa Kike kwa niaba ya Lady Jaydee.

Ommy Dimpoz kwa mara nyingine tena! Tuzo ya Video Bora ya Mwaka..Baadae!

Mashujaa Band wakifurahia Tuzo ya Band Bora.

Chalz Baba akiwa na Tuzo zake!

MC wa Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013 Bw. Zembwela. Picha zote na Kilimajaro Premium Lager