TIA NDO MANGOMZIMA. Powered by Blogger.

Monday, November 19, 2012

HIZI NDIZO PICHA ZA MATUKIO WAKATI WA KAMPENI

NI baadhi tu ya wanachuo waliokuwa wamefurika pale hall A kwa ajili ya kusikiliza wagombea wao kwenye mass kampeni.
                               



                                               Hapo high table ni wagombea wote wa urais pamoja na tume ya uchaguzi.

 Cheki hilo shangwe duh ni noma yaniii that day we can even express how was it watu na mabango wakinadi wagombea wao.

                                Msimamizi wa uchaguzi ndani wa uwanja wa taifa.




                        Watu wakijiandaa kuvote mwaka huu wa2 wamejitokeza xana tofauti na miaka ya nyuma changmoto ni nyingi mno.



                                          Duhhhhhhhhhhhhh wadada ndo usiseme..............................