TIA NDO MANGOMZIMA. Powered by Blogger.

Monday, December 10, 2012

EXCLUSVE: TAARIFA KUTOKA SHIMIVUTA TANGA

   HELLOW
natumaini kuwa nyinyi wote ni wazima and your going well with you studies guys, huku tanga people are good and try  to do what you send them because nyota njema huonekana asubuhi, and by the fact that gthey are representing karibia 10000 tia  community and they real behave good 
  Pia we thanks management kwa mambo mazuri ambayo wamejitahidi na wanajitahidi kuplay their roles kwa wanachuo kwa kuwabadilishia makazi na pia kufanikisha kila hitaji linalo hitajika

 
                      HIZI NI PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI YA VIJANA WAWAPO TANGA

   GUYS hiyo picha hapo juu ni from dar to mbeya in did it was a nyy journy lakini watu ilifikia kipindi wakachoka ile mbaya cheki hayo mapozi kikwembe vipi tena kaka




                           haya hii ni ile hotel ya kwanza tuliyofikia guys na hapa ni mazee wakijiaandaa kupew rooms



                                 Duuuh jaamaa ana hamu nalo tuna imani lazima liludi kwetu hilo ni kombe la volleyball jamani vijana walilochukua mwaka jana



                       Guys katika boooooooooooooooonge la pozi



                   waziri wa michezo mstaafu nae hakuwa nyuma kushow love na wana wote  walioko hapa tanga big nup ccta irine



                      These is the new hotel ambapo guys wanaishi katika hili ningependa kumshukuru mr Petro kwa juhudi zote walizofanya ili vijana wapate kubadilishiwa mahali pa kulala pia, shukrani nyingine za dhati ziende kwa waziri wa michezo bwana sally kubeta na jackline kwa role kubwa mliyoplaya katika swala la mahali pa kulala know guys are comfortable and living good life, sitakuwa nimefanya haki bila kumpongeza bwana faraji kwa kututafutia mahali hapa we need guys wanaojitolea klama jamaa
                             tazama picha ya these place hapo chini

                    



Guys kwanza ningependa kusema mtusamehe kwa kuchelewesha taarifa hizi kutoka tanga ila ni matatizo madogo tu ya kiyfundi ndo yamlitokea but dont worry fm today kila game na picha zake we will let you guys know all about these things happening here

LEO ASUBUHI TIMU YA WADADA IMECHEZA NA IFM NA TUMESHINDA SOOOOOOOOOOOOO BIG UP TO OUR GIRLS
PIA KIKAPU WAMEJITAHIDI SANA BUT THEY LOOSE THE GAME AGAINST CBE
              
             Baada ya muda kidogo click hapa kupata picha za  kikapu na baketball without forgeting
leoo wale washindi wa voolleyball 2011 to 2012 TTTTTTTTTIIIIIIIIIAAAAAAAAAAAA ndo wancheza so dua zako ndizo za muhimu sana kwetu jamani kushinda



eeeeeeeeeeeeeeemmmmmmmmmmmm ouuuuuuuuuuuuuuuut