TIA NDO MANGOMZIMA. Powered by Blogger.

Sunday, May 19, 2013

PaSAT YASIMAMIA VYEMA MAHAFALI YA PSA-TIA CLUB



Bw.Magester Ngereja-Mwenyekitialiyemaliza muda wake wa Procurement and Supplies Association of Tanzania Institute of Accountancy(PSA-TIA) naye akihutubia wahitimu wa shahada ya juu ya ugavi yaani Bachelor Degree in Procurement and Logistics Management pamoja na wageni waalikwa wakati wa mahafali ya wanajumuiya hiyo yaliyofanyika chuoni TIA jumapili ya tarehe 12/05/2013 ambapo amewataka wanaobaki kujiunga na PSA-TIA na PaSAT  ambavyo ndio vyombo vinayosimamia maslahi ya wagavi kwa Taifa zima.

 Bw.Amos Miyuda-Mwenyekiti mpya wa Procurement and Supplies Association of Tanzania Institute of Accountancy(PSA-TIA) naye akihutubia wahitimu wa shahada ya juu ya ugavi yaani Bachelor Degree in Procurement and Logistics Management pamoja na wageni waalikwa wakati wa mahafali ya wanajumuiya hiyo yaliyofanyika chuoni TIA Dar es Salaam  jumapili ya tarehe 12/05/2013 ambapo amewataka wanaobaki kujiunga na PSA-TIA na PaSAT  ambavyo ndio vyombo vinayosimamia maslahi ya wagavi kwa Taifa zima.
Mgeni Rasmi katika maafali hayo ndugu Nolaskus Mpota ambaye ni Mwenyekiti wa chama cha wagavi taifa yaani Procurement and Supplies Association of Tanzania(PaSAT) akigawa vyeti vya PSA-TIA CLUB kwa wahitimu wahitimu wa shahada ya juu ya ugavi yaani Bachelor Degree in Procurement and Logistics Management wakati wa mahafali ya wanajumuiya ya ugavi tia yani Procurement and Supplies Association of Tanzania Institute of Accountancy(PSA-TIA)


Bw.Salfius Mligo toka UDSM  ambaye ni katibu mkuu wa  Procurement And Supplies Association of Tanzania(PaSAT) naye akihutubia wahitimu wa shahada ya juu ya ugavi yaani Bachelor Degree in Procurement and Logistics Management wakati wa mahafali ya wanajumuiya ya ugavi tia yani Procurement and Supplies Association of Tanzania Institute of Accountancy(PSA-TIA)




 Wahitimu pamoja na wanachama wa PSA-TIA Club wakisikiliza hotuba ya mgeni rasm

Katika picha Kutoka kushoto mgeni rasmi Mwenyekiti wa PaSAT(mwenye suti)
Bw.Kennedy Ndosi (mwanzilishi wa PSA-TIA) ambaye alikuwa mwakilishi wa mwalimu mlezi wa PSA-TIA,Bw.Amos.G.Miyuda(mwenyekiti wa sasa wa PSA-TIA)na Salfius Mligo(katibu mkuu-PaSAT)wakiwa katika picha ya pamoja na wahitimu na wanachama wengine wa klabu ya PSA-TIA mara baada ya maafali hayo yaliyofanyika Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) hivi karibuni