Thursday, April 10, 2014
BONANZA BONANZA
kesho kwanzia saa nne asubuhi kutakuwa na bash katika viwanja mbalimbali vya TIA michezo kama,mpira wa miguu,netball,volleball and basketball na suprise kibao kama mashindano ya kunywa soda, kuvuta kamba na vingine vingi hivyo usikoseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee....................