kwa wale ambao hawamfahamu huyo ndiye rais wa tia akiteta jambo baada ya kuapishwa,kushoto kwake ni madam Mwasiti ambae ni makamu wa rais na pi kulia kwake ni Rais aliyemaliza muda wake bwana Lucas magesa
hapa ni rais wa udsm akiteta jambo na mamia ya wanachuo waliohudhuria sherehe hizo
Kama kawaida itifaki lazima izingatiwe huyu hapa rais mpya sasa wakikumbatiana na yule aliyemaliza muda wake kama ishara ya upendo
hapa ni wageni wote ambao walioudhuria sherehe hiyo wkipata picha ya pamoja
Huyu ndio alikuwa mwenyekiti wa uchaguzi wa TIASO
katikati ni Rais wa IFM akiwa na Gift pamoja na makamu wake madam Mwasiti
Mwenyekiti wa uchaguzi na Spika wa bunge wakimwapisha makamu wa rais
hawa ni baadhi tu ya wanachuo waliohudhuria sherehe hizo namwona katikati ni Frola, Semvua wakiwa pamoja na Rais wa IFM
Rais wa IFM akiteta jambo
Dada caroline kwa wale ambao hawamfahamu ndiye aliyekuwa spika wa bunge aliyemaliza muda wake
hahahahahahaha huyi ni sheha siju anaangalia nini eti kaka oitsup?
Rais nae akiapishwa na spika wa bunge pamoja na mwenyekita wa uchaguzi
Lucas magesa nae Rais mstaafu kama kawaida lazima apewe ruhusa ya kuongea simnaelewa itifaki lazima izingatiwe
ni twalib bwana pamoja na wagombea
Mgeni rasmi wa shuguli hiyo wazeeeee
Nadhani kila mtu anamfahamu huyu kijana mazee ni aliyekuwa mpinzani mkuu wa mr gift huyu ni Mr thadeo hapa akiteta jambo kuonyesha upendo wake alionao juu ya serikali iliyoshinda ya bwana gift
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki TIA