hizi ndizo picha za tukio hilo
Kwa taarifa zinsema vijana hao hawakuwa wezi kwa sababu kila mmoja ametoka kwenye familia ya kifahari na hii ni picha ikimwonyesha mmoja ya vijana hao akifanya shoopping marekani

R.I.P
Dhumuni la kutupia tukio hili ni kuwaonyesha jinsi wanachuo mbalimbali
wanavyopata hali ngumu mitaani swali je tukio hili likitoke hapa kwetu
itakuaje?
bwana these is the video hebu angalia then tahtmini ingekuwa ni wanachuo wa TIA ungefanyaje?..... fatilia na toa comment yako wazeeee
sorry for the picture